Noa Bongo - Afya Na Masuala Ya Jamii

Informações:

Sinopsis

Vipindi vyetu vinajaribu kuwahamasisha wasikilizaji wetu vinazungumzia masuala ya afya katika jamii

Episodios

  • WHO yatangaza Ebola kuwa dharura ya kimataifa

    18/07/2019 Duración: 02min

    Shirika la afya duniani WHO, limetangaza homa ya Ebola kuwa dharura ya kimataifa ya afya ya umma. Tangazo hilo limetolewa baada ya taarifa ya kisa cha mgonjwa wa Ebola mjini Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo