Sbs Swahili - Sbs Swahili

M23 yaomba mazungumzo na serikali ya DRC

Informações:

Sinopsis

Mazungumzo kati ya viongozi wa mataifa ya kanda la Afrika Mashariki, pamoja na ongezeko la vikosi vyakulinda amani vya kanda hilo katika maeneo ya Kaskazini ya Kivu, yame lazimisha kundi la M23 kuomba mazungumzo na serikali ya DRC.