Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari 13 Septemba 2022
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:17:38
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Waziri Mkuu Anthony Albanese amethibitisha kuwa ataunga mkono, pendekezo kutoka serikali zamajimbo na wilaya kuongeza muda wa malipo ya likizo ya dharura ya janga zaidi ya mwezi huu.