Sbs Swahili - Sbs Swahili

Taarifa ya Habari 19 Januari 2024

Informações:

Sinopsis

Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema serikali ina ahidi kutimiza awamu ya tatu ya makato ya kodi, ambako wafanyakazi watapata makato ya kodi kwa mishahara yao binafsi kuanzia Julai 1.