Sbs Swahili - Sbs Swahili

Isaac "Viongozi wengi wa Afrika wanachaguliwa na mataifa ya Magharibi"

Informações:

Sinopsis

Wanachama wa Jumuiya ya DR Congo wanao ishi mjini Sydney, walijumuika katika hafla maalum yaku adhimisha miaka 63 ya uhuru wa nchi yao pendwa.