Sbs Swahili - Sbs Swahili

Wanamgambo wauwa wanafunzi 41 Uganda

Informações:

Sinopsis

Wanamgambo wa kundi la ADF wenye uhusiano na kundi la Islamic State waliua wanafunzi 41 na kuteka nyara wengine sita katika shambulio kwenye shule kaskazini mwa Uganda karibu na mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, jeshi lilisema Jumamosi.