Sbs Swahili - Sbs Swahili

Albanese aunga mkono ongezeko ya mshahara kwa wafanyakazi wa pato la chini

Informações:

Sinopsis

Serikali ya shirikisho imependekeza wafanyakazi wenye pato la chini nchini Australia, waongezewe mshahara ila, serikali haija sisitiza kuwa ongezeko hilo la mshahara liwe sambamba na mfumuko wa bei.